FAIDA YA KUJUA KITABU CHA AJABU

Dunia inajaa vitabu vingi, tena vizuri. Lakini, kuna kitabu cha ajabu sana kuliko vyote. Je, unajua kitabu hicho?

HOME COMING

Matanda SDA-Bienveillant

6/22/20251 min temps de lecture

Je ! Unatamani kubadilisha Maisha yako ?

Maisha katika siku hizi yanakua na matatizo Mengi.

Umesumbuliwa ja Ulimwengu, Jamaa, jamii, na hata hauna amani katika kanisa lako. Huna hata leo muda ao hauna mafaa hamu yakuingilia kanisa fulani.

Shida zimekua nyungi katika dunia, shule, makambuni za uchapishaji, na vyombo vya habari vime chapisha ma gazeti ili wapate suluhisho kwa matatizo makubwa ya ulimwengu.

Kwa nini hakuna suluhisho mpaka sasa ? kwa nini ijapokua vitabu ni vingi, shida nazo zinakua nyingi zaidi ?

Shida ni kwamba, tumetafuta majibu kwa matatizo hizi mbali na kitabu ya tamani sana, ambamo ndani mwake tunapata faida kubwa kuliko vitabu vyote.

Kama una haja yakubadilisha maisha yako, ili yawe mazuri, tangu sasa, jifunze kusoma Biblia.

Matendo 17:11

2Wakorinto 5 :17

Biblia ina mafaa mengi sana:

a) Kuangazia: 2Petro 1:19; Zaburi 119:105, 160

b) Kuongoza kwa Yesu: Yohana 20:30,31

c) Kupana akili inayo leta wokovu: 2 Timoteyo 3:15

d) Kufundisha, kuonya, kuongoza katika haki: 2Timoteyo 3:16,17; Warumi 15:4

Lile ambalo wapashwa kufikiria leo!

Biblia ni barua ya Mungu kwako na kwangu ili tuweze kupata uzima wa milele.

Kupitia kitabu hiki, tuna utambua upendo wa Mungu ulio zihirishwa na Yesu Kristo kwa ajili ya wokovu wa wanadamu. Je, wewe ni tayari kuwa mwanafunzi wa kitabu hiki cha Mungu?

Utakubali kuongozwa na maneno yote ya kitabu hiki? Kama jibu lako ni ndiyo; utasema maneno haya: “Yakiwa ndani ya Biblia: Tutayakubali” “Tutaya kubali: yakiwa ndani ya Biblia”. Mungu awabariki.

Ukiwa na Swali ama ombi, wasiliana nasi kwa namba inayowekwa hapo chini.